Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 16-08-2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 17-01-2024 na tarehe 18-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana

Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi, BARUA zao za kupangiwa vituo vya kazi watazipata kupitia AKAUNTI zao za Ajira Portal kwenye sehemu ya My Applications, hivyo watapaswa kupakua na kutoa nakala (Download and Print) barua hizo na Kwenda nazo kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa.

Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.

NAMAMLAKA YA AJIRAKADANAMAJINA YA WALIOITWA KAZIN
1Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA)ARTISAN II (ELECTRICAL)1JACKLINE GODFREY KASOBILE
ESTATE OFFICER II1KELVIN ELIA MAMUYA
LIBRARY OFFICER II1JANETH EDWARD MASSAWE
2YUSUPH SHABANI SAIDI
MARKETING OFFICER II1KELVIN ALBERT ALONGA
2RAMADHANI MOHAMEDI NGUYU
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II)1BIBIANA LIVINUS TANINGA
  2  MAHENDA GIMU KAYANGE
PUBLIC RELATIONS OFFICER II1FRANK SYLVESTER AKILE
TECHNICIAN II (ELECTRICAL)1ELISIFA JOSEPH KASALALI
2JAMES MOSES KIHUNRWA
3KENEDY JUMANNE MTEGA
2Halmashauri ya Wilaya ya TanganyikaAFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II1CATHERINE GERALD MLULA
ENGINEER II – CIVIL1GAULA AMANI GAULA
3Halmashauri ya wilaya ya UramboAFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II)1FREDRICK FRANK MCHAU
2LUCY PHILIP MWIMBILIZYE
3MICHAEL SIMON NDAHANI
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER II)1ABDULKARIM FADHILI KASSIM
2ABIGAEL VALENTINE SILAYO
3ELIZABETH EMMANUEL MUNISI
AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL OFFICER II).1ISMAILI RASHIDI FYONGO
2JACKLINE GEORGE MWESIGA
3NAKAHUNGA LUBAMBULA MKAMA
4RAJABU SEIF FUNDI
AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II)..  1  DESTERIA ANTONY LIPEMBA
AFISA UTAMADUNI II (CULTURAL OFFICER GRADE II)  1  ANOLD GODFREY KINDOLE
AFISA WANYAMAPORI DARAJA LA II (GAME OFFICER II)  1  DONISIA JOSEPH MUSHI
MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA I (ACCOUNTS ASSISTANT I)1GARUS MOSTARD HAONGA
 
NAMAMLAKA YA AJIRAKADANAMAJINA YA WALIOITWA KAZIN
   2ISMAIL JOSEPH KASEKWA
4Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER II)1LILIAN JAMES NGWAVI
2SHADRACK CLEMENT MWAMAFUPA
3SOPHIA CHARLES ANDREW
ESTATE OFFICER II1ZAINABU HASSAN AZIZ KIFILE
INFORMATION OFFICER II1DORIS PETER MISIRU
5Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye UlemavuAFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER II)  1  JAWADU JUMA KINYOBWA
AFISA MAENDELEO YA VIJANA II1BENIDICTO EMMANUEL MINGA
2JOSHUA AMANI MNGURUTA
3VEYCE ALOYCE MNG’OKE
AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II1NEEMA ALCHELAUS MUTALEMWA
2PAUL FRANK KILONGOLA
3PRAYGOD MANASE TEMBA
4ROSEMARY MARTIN KAJEMBE
5TUNU PENUEL MSHANA
6Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO)AFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II)  1  HERI MIRASI MAULID
ELECTRICAL ENGINEER II1LEILAT ASHRAF SALUM KARWANI
ICT TECHNICIAN II1LEONARD STEPHEN DAFFA
LIBRARIAN II1JOB LAMECK FUNGO
MECHANICAL ENGINEER II1PRISCA PATRICK MRAMBA
2VENANCE EDWARD MWAFULA
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II)      1      LILIAN JULIAS MHONYA
7Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI)INTERNAL AUDITOR II1JACKLINE SAMSON NYANDA
8Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)PUBLIC RELATIONS OFFICER II1DANFORD DUNSTAN BANDA
2NEEMA BASHIRU NANDONDE
3REVOCATUS BERENADO THOMAS

LIMETOLEWA NA;

KATIBU

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

👉 PAKUA PDF HALISI HAPA

Author: Ajira Portal

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *