TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-01-2025 na tarehe 18-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana
Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi, BARUA zao za kupangiwa vituo vya kazi watazipata kupitia AKAUNTI zao za Ajira Portal kwenye sehemu ya My Applications, hivyo watapaswa kupakua na kutoa nakala (Download and Print) barua hizo na Kwenda nazo kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa.
Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
NA | MAMLAKA YA AJIRA | KADA | NA | MAJINA YA WALIOITWA KAZIN |
1 | Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara | AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA II (AGRICULTURAL FIELD OFFICER ) | 1 | EMMANUEL VENANCE KAMSWENGA |
2 | JENIVA RWEHABURA JOHN | |||
3 | SETH OSWINO KAYOMBO | |||
4 | TALITHA GABRIEL DUWAU | |||
5 | VALENTINO MICHAEL MHONGOLE | |||
6 | ZEBEDAYO LEONARD BARAZA | |||
AFISA AFYA MAZINGIRA MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT ENVIROMENTAL HEALTH OFFICER II) | 1 | FLAVIANA FELIX BIGGI | ||
2 | HOBOKELA LUCAS MAIGE | |||
3 | KASSIM SALUMU KASSIM | |||
4 | SALOME RENATUS MAYALA | |||
AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II) | 1 | CHARLES MICHAEL MSETI | ||
2 | FIDELIS THOMAS MKUDE | |||
3 | PETER MASULE SENDAMA | |||
AFISA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS OFFICER II) | 1 | DIANA ROMWARD ZEPHURINE | ||
AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II | 1 | EMMANUEL MCHAIMWE MBONEA | ||
2 | MAGRETH CLAUD KITAMBI | |||
AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) | 1 | UTUKUFU ULISAJA MWAKAJE | ||
AFISA UVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT FISHERIES OFFICER II) | 1 | GASTON SIMON MALANDAMLA | ||
MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA I (ACCOUNTS ASSISTANT I) | 1 | DORCAS KASOGWE NKINZO | ||
MTAKWIMU DARAJA LA II (STATISTICIAN II) | 1 | BARAKA BENONI EMMANUEL | ||
2 | Halmashauri ya Wilaya ya Singida | AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II) | 1 | FARID RAMADHANI MUMBA |
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER II) | 1 | ALBINA RUTAGAHYWA ANATORY | ||
2 | NURU MESHACK MOLLEL | |||
AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) | 1 | ATANASI JOHN AKONAAY | ||
2 | DANIEL GIDEON PALINGO | |||
3 | GERALD PETER MNUNDUMA | |||
4 | GRACE EDSON KISABO |
NA | MAMLAKA YA AJIRA | KADA | NA | MAJINA YA WALIOITWA KAZIN |
5 | ISAKA DEVAS NKENGUYE | |||
6 | LEO DANIEL MWAKALYOBI | |||
7 | MAICKO KAPUFI CHARLESI | |||
8 | MARIETHA VENANCE KIMARIO | |||
AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II).. | 1 | CHAUSIKU JUMA MAKABARA | ||
AFISA MISITU DARAJA LA II (FOREST OFFICERS II) | 1 | NSUBILI ENOCK MWAKILELA | ||
2 | VERIAN MAZENGO KEPHA | |||
AFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II) | 1 | ANNA NYANGISI NGOITANILE | ||
AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II | 1 | CHRISTOPER JOSEPH SELELI | ||
2 | NAOMBA FELICIAN MAMBILE | |||
AFISA UTAMADUNI II (CULTURAL OFFICER GRADE II) | 1 | ADAM HAMIE GUMBWA | ||
AFISA UTUMISHI DARAJA LA II (HUMAN RESOURCE OFFICER II | 1 | CLARA MATHEW KAOMBWE | ||
ENGINEER II – CIVIL | 1 | EMMANUEL CHRISTOPHER MOLLEL | ||
2 | GIBRON MODEST MINJA | |||
3 | WILBALD LIBORI KOMBE | |||
MTAKWIMU DARAJA LA II (STATISTICIAN II) | 1 | LEOCARDIA MAYUNGA SYLVERY | ||
TECHNICIAN II (ELECTRICAL TECHNICIAN). | 1 | KULOLA KAFUNZO KAHINDI |
LIMETOLEWA NA;
KATIBU
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA