TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-01-2025 na tarehe 10-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana
Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi, BARUA zao za kupangiwa vituo vya kazi watazipata kupitia AKAUNTI zao za Ajira Portal kwenye sehemu ya My Applications, hivyo watapaswa kupakua na kutoa nakala (Download and Print) barua hizo na Kwenda nazo kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa.
Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
NA | MAMLAKA YA AJIRA | KADA | NA | MAJINA YA WALIOITWA KAZIN |
1 | Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo | AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II) | 1 | ALOYCE GERSON NSWIMA |
2 | ERASMO GERALD LUKOSI | |||
3 | LUKA CHRISTOPHER SELEMANI | |||
AFISA KILIMO DARAJA LA II (AGRICULTURAL OFFICER II) | 1 | THEREZA MAGESA VALLENCE | ||
AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL OFFICER II). | 1 | TIMOTHEO ANTONY NZOBONA | ||
ENGINEER II (ARCHITECT) | 1 | HOSEA SAMWEL SULLE | ||
2 | Halmashauri ya Wilaya ya Uyui | AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II) | 1 | DIMITRA DAVID MKINGULE |
2 | MARGARETH EVANS MGHASE | |||
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER II) | 1 | CATHERINE JOHN KILINDIMA | ||
AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) | 1 | ASHA MOHAMEDI NANDULE | ||
2 | PERIUS RAYMOND KULWIJA | |||
AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II) | 1 | ENOS MATHIAS KISENA | ||
2 | JANETH THOMAS MGANILWA | |||
AFISA MAENDELEO YA VIJANA II | 1 | CONSOLATHA CHARLES MELKYOR | ||
AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL OFFICER II). | 1 | ZUWENA SHEHA MJAHIDI | ||
AFISA UGAVI MSAIDIZI II | 1 | IRENE DOMINICK MUSSA | ||
AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) | 1 | KESSY JUMA KHAMIS | ||
3 | Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) | AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II | 1 | ABUBAKAR SALIM MUUNGIA |
2 | EMMANUEL MAYALA CHARLES | |||
LIBRARIAN II | 1 | ASHURA RASHIDI NTONGORI | ||
LIBRARY ASSISTANT II | 1 | NAOMI SAMWEL MWAKIFAMBA | ||
4 | Wakala wa Vipimo (WMA) | WEIGHTS AND MEASURES OFFICER II. | 1 | AMON MICHAEL KASONDE |
2 | BASOTI OMARY SAROTA | |||
3 | CHRISTOPHER FRANK MFURU | |||
4 | CLEMENT CONSTANTINE MDINDILWA | |||
5 | FABIAN BASIL KARERA | |||
NA | MAMLAKA YA AJIRA | KADA | NA | MAJINA YA WALIOITWA KAZIN |
6 | FERUZ HEMED FERUZ | |||
7 | FLORAH NESTORY NDEGE | |||
8 | HALIDI HASHIMU ALLY | |||
9 | HISTON GILBERT RUTAIHWA | |||
10 | IRENE JOSEPHAT AUGUST | |||
11 | IRENE SEBASTIAN MULIMILA | |||
12 | JUMA LULYALYA JOTTAH | |||
13 | KHADIJA HAMZA HASSAN | |||
14 | LAZARO HERBATI MBUJA | |||
15 | LEVINA JOSEPHAT NAGABONA | |||
16 | PATRICIA MASELE MAHEGA | |||
17 | SALEHE HEMED KIPENGELE | |||
18 | VALERIAN RICHARD MAKONDA | |||
19 | WILLIAM SLADEN MAHANYU | |||
20 | ZUHURA ISSA OGATA |
LIMETOLEWA NA;
KATIBU
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA